Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Maisha ni fumbo kama kilivyo kifo" - DC Jokate

Jumatatu , 1st Jun , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, amesema kuwa ile Tweet yake ya jana ya kwamba alipoteuliwa kwenye nafasi hiyo watu walimbeza na kumkejeli na kusema kuwa hilo halikuiwa dongo kwa mtu yeyote yule, bali alikuwa anajaribu kuelezea safari ya mwanadamu ilivyo fumbo kama kilivyo kifo.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo.

DC Jokate ameyabainisha hayo leo Juni Mosi, 2020, wakati wa mazungumo maalum kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, na kusema kuwa maisha ya mwanadamu ni safari na hakuna anayeijua safari ya mwenzake na safari ikishaanza basi ni wachache sana ambao watakuunga mkono.

"Lile halikuwa dongo ilikuwa ni kuelezea safari ya mwanadamu, kwa sababu maisha ni fumbo, kama ilivyokuwa kifo, maisha ni safari na hakuna anayeijua safari ya mwenzake na kila hatua unayoipiga siyo kila mtu atakuunga wala kukutia moyo, unapoona hivyo siyo kwamba ufe moyo wewe songa mbele" amesema DC Jokate.

Jana kupitia ukurasa wake wa Twitter, mara baada ya Shule ya Sekondari ya Kisarawe kupewa jina lake aliandika hivi, "Nilipoteuliwa wapo walibeza na wengine kujaribu kunivua utu wangu, niliwaelewa lakini, Pwani wanasema Aso Mtu Ana Mungu, Namshukuru Mungu wangu kwa kunitetea. Mhe Waziri Jafo kamuelekeza DED kuisajili hii shule ya kihistoria Kisarawe na iitwe Jokate Mwegelo Girls Secondary School".

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea