Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majibu ya Fid Q kuhusu picha yake na Nandy

Jumanne , 15th Oct , 2019

Kupitia EATV & EA Radio Digital, Mkongwe wa muziki wa HipHop Bongo Fid Q, amenyoosha maelezo kuhusu picha iliyosambaa na kuzua taharuki katika mitandao ya kijamii ikimuonesha amesimama na Nandy.

Kwanza yale yalikuwa mambo ya upepo, nilishangaa kwa sababu mambo ya walimwengu niliipokea kama ya walimwengu kwahiyo sio 'issue', Mke wangu Mama Cheusi hakutoa maoni yoyote kuhusiana na ile picha ni kama hajaiona bado” amesema Fid Q.

Pia msanii huyo ameongelea suala la watu wengi kutegemea sana mitandao ya kijamii kama kuzusha habari, kupata umbea au kufuatilia maisha ya mtu.

Ni hatua ambayo ilibidi tufike lakini wasiwasi wangu ni mapokeo ya wengi yamekuwa si sawa sana kwa sababu wengi wanatumia huko kuwaumiza watu kwa kusemwa , kutukanwa , kusimangwa ndiyo maendeleo hayo yanakuja hivyo mengine kwa njia ya hasi mengine kwa njia ya chanya kwa sisi wasanii, tunaichukulia kama sehemu ya kujitangaza na zaidi imetupa nguvu ya kujiwezesha kama kutokuwa watumwa wa vyombo vya habari” ameongeza.

Aidha amesema kuna tofauti kati ya maisha yake binafsi ambayo ni siri na yale ambayo yapo mbele za watu.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa