Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majibu ya Msekwa juu ya barua ya Kinana na Makamba

Jumatatu , 15th Jul , 2019

Katibu wa Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu Wastaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Pius Msekwa, amejibu kufuatia barua aliyoandikiwa na makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Yusuph Makamba na Abdurahman Kinana, kuhusiana na uzushi alioutoa Cyprian Musiba dhidi ya viongozi hao.

Spika mstaafu, Pius Msekwa

Akizungumza leo Julai 15 na EATV/Radio Digital, Msekwa amesema kwamba yeye hana la kusema na kwamba kama analo atawatafuta wahusika, na si kila mtu anapaswa kujua.

''Ni barua nyingi zimekuwa zikielekezwa kwangu, lakini mimi sina neno kama nikiwa nalo ntawafafuta mwenyewe na sio lazima ninyi mjue'' amesema Pius Msekwa.

Kwa mujibu wa barua hiyo, Yusuph Makamba na Abdulrahman Kinana, wameamua kutokwenda mahakamani, kwasababu jambo hilo lina taswira ya kimkakati na lina mtandao wenye malengo ya kisiasa, hivyo linapaswa kushughulikiwa kisiasa. Lakini pia hawawezi kwenda mahakamani kudai fidia, kwa kuwa heshima yao haiwezi kufananishwa na fidia.

Isome hapa chini barua yao ya wazi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa