Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majina yatajwa waliofariki kwa ajali ya Treni

Jumatatu , 23rd Mar , 2020

Wafanyakazi watano wa Shirika la Reli la Tanzania (TRC), wamefariki dunia kutokana na ajali ya Treni ya uokoaji kugongana uso kwa uso na Kiberenge, katika eneo la Mwakinyumbi na Gendagenda mkoani Tanga.

Treni

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano wa TRC Jamila Mbarouk na kusema kuwa ajali hiyo imehusisha watumishi sita wa shirika hilo, ambapo wanne walifariki papo hapo na wawili walifikishwa katika hospitali ya Wilaya ya Magunga, Korogwe ambapo mmoja naye alifariki.

Taarifa hiyo imeyataja majina ya waliofariki katika ajali hiyo kuwa ni Ramadhan Gumbo, ambaye alikuwa ni Meneja usafirishaji Kanda ya Tanga, Mhandisi Fabiola Moshi ambaye alikuwa ni Meneja ukarabati wa mabehewa ya abiria kanda ya Dar es Salaam, mwingine ni Joseph Komba ambaye alikuwa ni Meneja Msaidizi usafirishaji kanda ya Dar es Salaam.

Wngine ni Philibert Kajuna ambaye alikuwa ni Mtaalam wa usalama wa Reli na George Urio ambaye alikuwa ni dereva wa Kiberenge, ambapo uchunguzi unafanyika ili kubaini chanzo cha ajali hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi