Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Majina yatakuwepo hatakama wamejiengua" - Jafo

Jumamosi , 9th Nov , 2019

Hadi kufikia leo Novemba 9, 2019, jumla ya vyama vitatu vya upinzani vimeamua kujitoa kushiriki katika kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kile walichokieleza kuwa asilimia kubwa ya wagombea wake majina yao yameenguliwa.

Waziri wa TAMISEMI, mhe. Selemani Jafo

Vyama hivyo ni CHADEMA, ACT - Wazalendo na CHAUMA, ambacho kimejitoa leo, baada ya Chadema kujitoa Novemba 7 na ACT - Wazalendo kilichojitoa siku ya jana ya Novemba 8.

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ameviambia vyama hivyo kuwa kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa hata kama chama husika kimegoma kushiriki, lazima jina la mgombea lililoteuliwa kushiriki litabandikwa kwenye karatasi ya uchaguzi.

"Uchaguzi utaendelea kama kawaida na kile chama kinachotafsiri demokrasia kinachoitaka, huwezi kulazimisha chama kufanya demokrasia ile unayoitaka wewe. Kwa vyama vilivyojitoa ni uhuru wao kidemokrasia, nivishukuru vyama 11 vilivyosema vitashiriki kwasababu ni muda wao wa kujimwambafai.", amesema Jafo.

"Kwa mujibu wa kanuni, mtu akishateuliwa jina linabaki kwenye karatasi ya uchaguzi hata kama kajiengua mwenyewe", ameongeza Waziri Jafo.

Aidha Waziri Jafo amesema kuwa zaidi ya rufaa 13,500, zimewasilishwa na vyama vya siasa kwenye Kamati za Rufaa za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali