Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda aanza kushughulika na Mabusha

Ijumaa , 14th Dec , 2018

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Desemba, 14, 2018, amezindua kampeni ya utoaji wa kinga ya Matende, Minyoo, Mabusha na Kichocho kwa wa wakazi wa mkoa huo.

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda

Katika uzinduzi huo Mh. Makonda amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupata kinga ili kujiepusha na magonjwa hayo.

''Ndugu zangu niwaombe tujitokeze kupata kinga hii, maana itatolewa kwenye vituo zaidi ya 923 ikiwemo Vituo vya afya, Mashuleni, Ofisi za watendaji Kata na mitaa, Vituo vya mabasi na Sokoni lengo ni kuwafikia wananchi wote'', amesema.

Mkuu huyo wa mkoa ameeleza kuwa kama mkoa wamekusudia kuwafikia zaidi ya wananchi 5,600,000 sawa na 100% ya wananchi wenye uhitaji wa kupatiwa kinga hiyo katika mkoa wa Dar es salaam.

Aidha Makonda ameipongeza Sekta ya afya kwa kazi kubwa wanayoifanya katika utoaji wa huduma bora za afya kwa wananchi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi