Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Makonda sio maskini, lazima azirudishe' - JPM

Jumatatu , 17th Feb , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kuzirudisha zile pesa za TASAF alizodai kupewa na Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa mwaka 2012.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Hayo ameyabainisha leo Februari 17, 2020, wakati wa uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya TASAF, na kuzitaja changamoto zilizojitokeza katika zoezi la uhakiki wa Kaya maskini, lililofanyika 2015 hadi June 2017, ambapo zilibainika kaya hewa 73,561.

"Kaya 22,034 zilithibitika wanakaya wake siyo maskini na mojawapo ni akina Makonda ambao walizitumia fedha hizo kwenda Dodoma wakati siyo maskini na ninaomba kama hili ni ukweli Makonda azirudishe hizo fedha, kama kweli alituma fedha za TASAF lazima hizo fedha azirudishe" amesema Rais Magufuli.

Katika hotuba yake Makonda alieleza ni kwa namna gani Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, alivyompatia fedha za TASAF na kuzitumia kwenda nazo Dodoma kuomba ridhaa ya kuchaguliwa nafasi ya Makamu Mwenyeki wa UVCCM
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa