Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Malipo ya pensheni yapaa ndani ya miaka 2 Zanzibar

Jumapili , 12th Jan , 2020

Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo katika Uwanja wa Amani, Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Rais Magufuli.

Rais Dkt. Ali Mohamed Shein

Mgeni rasmi katika sherehe hizo ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein.

Katika hotuba yake kwa wananchi kwenye sherehe hizo, Dkt. Shein amesema kuwa Serikali ya Awamu ya 7 ndani ya miaka yake tisa imeendelea kutekeleza mipango ya mageuzi ya kiuchumi kwa kuimarisha hali ya amani iliyopelekea kuongezeka kwa pato la uchumi mara sita zaidi. Kutoka  Trilioni 1.78 mwaka 2010 Trilioni 2.87 mwaka 2018.

Pia amesema kuwa Pato la mwananchi limeongezeka kutoka wastani wa Sh. 942,000 mwaka 2010 hadi kufikia Sh. 2,323,000 mwaka 2018 jambo lililopelekea kuinua hali ya maisha ya wananchi.

Kuhusu ulipaji wa pensheni kwa wastaafu, amesema kuwa, "malipo ya pensheni kwa wastaafu yameongezeka kutoka Sh. 25,000 kwa mwezi mwaka 2017 hadi Sh 90,000 kwa mwezi mwaka 2019".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi