Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Malkia Elizabeth amtaja mrithi wake

Alhamisi , 19th Apr , 2018

Malkia Elizabeth wa Uingereza amemtaja mtoto wake wa kiume 'Prince Charles' kuwa huenda akawa mkuu wa jumuiya ya madola kwa miaka ijayo baada ya yeye kuachia ngazi.

Malkia Elizabeth ametoa kauli hiyo leo alipokuwa kwenye mkutano wa nchi za Jumuiya ya Madola (commonwealth) uliofanyika nchini Uingereza, ambapo Tanzania pia imehudhuria.

Akisoma hotuba yake kama mkuu wa Jumuiya hiyo Malkia Elizabeth amesema “ni matumaini yangu kwamba Jumuiya ya Madola itaendelea kutoa utulivu kwa kizazi kijacho, na kuamua kuwa siku moja Mwana Mfalme wa Wales ataendelea kubeba kazi muhimu iliyoanzishwa na baba yangu mwaka 1949”.

Kwa kauli hiyo ya Malkia Elizabeth, ulimwengu unaamini kuwa mtoto wake wa kwanza wa kiume Charles, ndiye atakuwa mrithi wa kuongoza jumuiya hiyo kubwa duniani, ambayo ina nchi wanachama takriban 53.

Kwenye mkutano huo Tanzania imewasilishwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, huko jijini London nchini Uingereza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi