Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mamilioni ya vijana kuwaponza wakurugenzi

Jumamosi , 23rd Mar , 2019

Waziri wa nchi  ofisi ya  Raisi Tawala za mikoa na serikali  za mitaa TAMISEMI Selemani Jafo ametoa wiki moja kwa wakurugenzi wa halmashauri za mkoa wa Morogoro na nchini kwa ujumla, kuhakikisha wanatoa taarifa za fedha za mikopo ya asilimia kumi inatolewa kwa akina mama,vijana na walemavu

Selemani Jafo

Waziri Jafo ametoa agizo hilo wakati wa kongamano la vijana kujadili fursa za mkoa wa Morogoro ambapo amesema serikali imetoa maagizo kwa wakurugenzi wote nchini kuhahikisha wanatenga asilimia kumi ya mapato ya ndani kuwasaidi makundi maalumu ambayo ni akina mama ,vijana na walemavu jambo ambalo baadhi ya wakurugenzi wamekuwa hawafanyi.

Jafo amewataka wakurugenzi kuziwasilisha ripoti hizo kwa katibu tawala wa mkoa huo ili kutambua ni kiasi gani ambacho kimetolewa na kuwafikia walengwa.

Aidha Waziri Jafo ametoa muda wa miezi mitatu kwa wakurugenzi wote nchini kuhakikisha fedha ilizotengwa kwaajili ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu zinawafikia walengwa ikiwa ni katika kutekeleza sheria ambayo Mheshimiwa Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameipitisha kwa lengo la kuwainua kiuchumi watanzania ambao asilimia kubwa ni wanyonge.

Kwa upande wake Naibu waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Omary Mgumba amewataka wakazi wa Morogoro  kutumia fursa za viwanda vinavyoanzishwa katika mkoa huo kujikita katika kilimo ili kuwakomboa kiuchumi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali