Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maneno machafu yapigwa marufuku, mwezi wa mfungo

Ijumaa , 22nd Mar , 2024

Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Sheikh Husein Maneno Simo ametoa wito kwa Waislam wote nchini kuendelea kulinda amani iliyopo na kuwa wazalendo.

Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Sheikh Husein Maneno Simo

Sheikh Huseni ameyasema hayo leo, katika Msikiti wa Azhar uliyopo Kata ya Kivinje Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi ambapo amewataka Waislamu wote kujivunia amani iliyopo nchini na  kuwataka watende matendo mema ambayo yanamfurahisha Mwenyezi Mungu.

“Katika Mwezi wa Ramadhani Waislam wote wanatakiwa kutosema maneno machafu, kutokufanya matendo maovu ambayo  yanahatarisha amani ya nchi na matendo mengine ambayo uislamu haukubaliani nayo ’’alisema Sheikh Huseini. 

Alisisitiza kuwa uislamu ni dini ambayo kwa sehemu kubwa inahimiza amani kama ilivyo jina lake al islam lenye maana ya  amani.

“Hivyo sisi kama Watanzania kama wanakilwa na kama waislamu ni wajibu wetu kuhakikisha kwamba amani ya Tanzania inakuwa kipaumbele na amani ya Kilwa inakuwa kipaumbele’’ alieleza Sheikh Huseini.

Pamoja na hayo, ameongeza Serikali hivi saaa inatengeneza miundombinu kwaajili ya kuwasaidia wananchi lakini  uharibifu unafanywa na mingoni mwetu hivyo ni wajibu wa kila muislamu kutumia mwezi wa ramadhani kutenda matendo mema na kuwa mzalendo wa taifa hili. 
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP