Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapango ya Fisi yakutwa na nyama, mafiga na vyungu

Ijumaa , 27th Mei , 2022

Mkuu wa wilaya ya Bariadi Lupakisyo Andrea, amesema kwamba katika oparesheni ya kuwaangamiza Fisi wilayani humo, wengine wamekuwa wakiwakuta na shanga, huku mapango wanayokaa Fisi hao wakikuta kuna mafiga, vyungu na nyama ambazo zimemalizika kuliwa.

Fisi

Hayo ameyabainisha mbele ya Kaimu Kamishna wa Uhifadhi wa Idara ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mabula Misungwi Nyanda, aliyefika mkoani Simiyu kwa ziara ya kikazi, ambapo amepata wasaa wa kutembelea familia na kuwafariji watoto walioshambuliwa na kuumizwa na fisi hivi karibuni.

"Kwahiyo ni kweli wana shanga (Fisi), ukiingia mule ndani kwenya mapango yao utakuta mawe, chungu na nyama ambazo zimetoka kuliwa wakati huo, Mkuu tutaomba utuvumilie, tutajitahidi sana kufuata utaratibu lakini kama wana madhara kwa ulivyojionea, hawa tutaomba tuwaue, tukiweka mtego wa Mbuzi hawali, wanataka mtego wa mtoto ndiyo amle," amesema DC Andrea

Aidha akizungumzia kitendo cha Fisi hao kufika katika kituo cha polisi DC Andrea amesema, "Na kitu ambacho labda kiliwaudhi tuliua Fisi wa mwisho alikuwa na watoto, yaani Fisi anakwenda kituo cha polisi anajua kuna silaha hawa ndio wanatulinda, walipowaona Polisi na silaha zao wao wakaondoka,".

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya