
Mapipa ya lami yaliyokamatwa
Akizungumza tukio hill Mkuu wa wilaya hiyo Joshua Nassari, amesema tabia ya wizi wa malighafi zinazotumika katika ujenzi wa miradi umekuwa ni wa mara kwa mara jambo ambalo lilipelekea kufanya uchunguzi wa kina na kubaini uwepo wa mtandao ambao unafanya uhalofu katika mradi huo.
"Niliamua kufanya mwenyewe uchunguzi huu kwa kuwashirikisha watu wachache ndipo juzi tarehe 23 usiku nilipokuja hapa katika pori hili na kukuta wizi ukifanyika," amesema Nassari.