Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapya yaibuka Mganga aliyembaka mgonjwa wake

Jumatatu , 13th Jan , 2020

Siku chache baada ya Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, kumkamata mganga wa kienyeji anayefahamika kwa jina la Hemed Jumanne mkazi wa wilaya ya Sengerema kwa tuhuma za kumbaka mgonjwa wake wakati akimtibu.

Mazingira ya Mganga wa kienyeji.

Chama cha waganga wa tiba asili na tiba mbadala mkoani Mwanza (CHAWATIATA), Kata ya Kishiri kimelaani vikali kitendo kilichofanywa na mganga huyo na kuahidi kutofumbia macho vitendo vya udhalilishaji wa taaluma hiyo.

Mganga huyo wa kienyeji anayedaiwa kufanya kitendo hicho kwa mgonjwa wake, baada ya mgonjwa huyo kufika kwake kwa lengo la kupata tiba ya maradhi yanayomsumbua, ndipo mganga aliingiwa na tamaa ya kimapenzi na kumpa dawa za kumpumbaza kisha kumbaka kwa kuweka baadhi ya dawa za kienyeji kwenye sehemu za siri za mwanamke huyo kama sehemu ya matibabu.

Mwenyekiti wa CHAWATIATA Kata ya Kishiri jijini Mwanza, Msabaha Salum, amekemea vikali kitendo alichofanya mganga huyo na kuomba Serikali kumchukulia hatua kali za kisheria.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali