Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapya yaibuka Mganga aliyembaka mgonjwa wake

Jumatatu , 13th Jan , 2020

Siku chache baada ya Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, kumkamata mganga wa kienyeji anayefahamika kwa jina la Hemed Jumanne mkazi wa wilaya ya Sengerema kwa tuhuma za kumbaka mgonjwa wake wakati akimtibu.

Mazingira ya Mganga wa kienyeji.

Chama cha waganga wa tiba asili na tiba mbadala mkoani Mwanza (CHAWATIATA), Kata ya Kishiri kimelaani vikali kitendo kilichofanywa na mganga huyo na kuahidi kutofumbia macho vitendo vya udhalilishaji wa taaluma hiyo.

Mganga huyo wa kienyeji anayedaiwa kufanya kitendo hicho kwa mgonjwa wake, baada ya mgonjwa huyo kufika kwake kwa lengo la kupata tiba ya maradhi yanayomsumbua, ndipo mganga aliingiwa na tamaa ya kimapenzi na kumpa dawa za kumpumbaza kisha kumbaka kwa kuweka baadhi ya dawa za kienyeji kwenye sehemu za siri za mwanamke huyo kama sehemu ya matibabu.

Mwenyekiti wa CHAWATIATA Kata ya Kishiri jijini Mwanza, Msabaha Salum, amekemea vikali kitendo alichofanya mganga huyo na kuomba Serikali kumchukulia hatua kali za kisheria.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya