Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

MARA: RC azungumzia wanaume kukatwa sehemu za siri

Jumatatu , 20th Jul , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima, amewataka vijana na wanaume ndani ya Mkoa huo kuhakikisha wanatimiza ahadi zao kwa wanawake ili waepukane na matukio ya wao kukatwa sehemu zao za siri na wanawake hao pindi wanaposhindwa kutimiza ahadi za kile walichokubaliana awali.

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima.

Malima ametoa kauli hiyo hii leo Julai 20, 2020, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, hii ni baada ya John Lugera ambaye ni mkazi wa Tarime, kutoa malalamiko hayo kwenye kipindi hicho na kueleza kuwa wanaume wamekuwa wakikatwa sehemu za za siri na wanawake.

 "Huku kunakuwa na mauaji mengi, nilishawahi kushuhudia watu wameuana kwa sababu walikuwa wanadaiana Sh 2000, bado huku tuna hulka ya hasira za haraka haraka, lakini naona hapa mambo ni mawili badala ya kutafuta ajira yenye heshima anauza mwili wake", amesema RC Malima.

"Kuna ahadi hapo waliwekeana zinavunjwa na hao wanaume wanapokwenda huko wakikubaliana watimize ahadi za watu" ameongeza RC Malima.

Awali akitoa malalamiko hayo, mwananchi huyo alisema kuwa "Huku mkoani Mara matukio yanayoendelea ni ya wanawake kukata sehemu za siri za wanaume, mfano mwanamke umeingia naye sehemu mliaahidiana kumpa elfu 10, halafu ukampa elfu 5, usipompa yote anakukata sehemu zako za siri", amesema John Lugera.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa