Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Marais 19 kuwasili Tanzania

Jumatano , 12th Jun , 2019

Waziri wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi amebainisha takribani Marais 19 kutoka nchi za Jumuiya ya SADC wanatarajiwa kuwasili nchini, wakiambatana na jumla ya wageni 1000, kwa ajili ya kushiriki mkutano wa jumuiya hiyo.

Waziri Kabudi ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari na wamiliki wa vyombo vya habari, juu ya Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa SADC unaotarajia kufanyika Agosti 17, na 18 mwaka huu.

Akitoa ujumbe huo kwa waandishi wa habari Waziri Kabudi amesema kuwa "2019 Tanzania itakuwa Mwenyekiti na mwenyeji wa mkutano wa 39 wa SADC utakaofanyika Agosti 17 na 18, na utatanguliwa na vikao vya awali kati ya Makatibu Wakuu na Mawaziri wa SADC, pia kutakuwa na maonesho ya wiki ya viwanda kwa nchi za SADC kuanzia 22 hadi 26 Julai 2019, Wakuu wa nchi 19 watakuwepo hapa, jumla ya wageni watakuwa 1000"

Mara ya mwisho Tanzania kuongoza Mkutano huo ulikuwa mwaka 2003, katika kipindi cha utawala wa Rais Mkapa ambapo mkutano hu mara nyingi umekuwa ukilenga kujadili masuala ya kiuchumi yanahusu nchi hizo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi