Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maryam Kitosi kuwaongezea thamani mama lishe

Ijumaa , 7th Aug , 2020

Msemaji Mkuu wa wanawake kutoka East Africa Television na East Africa Radio Maryam Kitosi, leo Agosti 7 katika kipindi cha MamaMia kinachoruka East Africa Radio Jumatatu hadi Ijumaa Saa 10:00 Asubuhi hadi 12:00 mchana, ametoa wito kwa mama lishe kuwa na dhamira ya maendeleo.

Maryam Kitosi

Maryam Kitosi amesema anataka kuwaongezea mama lishe thamani yao kupitia kampeni  ya Simama Na Mimi, inayoendeshwa na East Africa Radio, ambapo amewasihi mama lishe kutumia lugha nzuri na kuboresha mazingira ya kufanyia biashara hiyo ili kumvutia mlaji.

Pia ameongelea suala zima la afya ya Uzazi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji, ambapo ameshirikiana na mtaalamu Kutoka Tiba na Lishe na kutoa elimu ya namna ambavyo mama anatakiwa kunyonyesha.

“Inashauriwa ndani ya saa moja baada ya mama kujifungua mtoto aanze kunyonya ndani ya muda wa miezi sita na ndipo apewe chakula kingine kama nyongeza hadi atakapotimmiza miaka miwili, kunyonyesha kunajenga mahusiano mazuri katika ya mama na mtoto na inaongeza upendo kati yao’’, amesema mtaalamu kutoka Tiba na lishe.

Pia Kinara huyo alihitimisha kwa kusema wanawake wazingatie miongozo ya afya katika unyonyeshaji ili kujilinda na saratani ya matiti.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi