Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maryam Kitosi kuwaongezea thamani mama lishe

Ijumaa , 7th Aug , 2020

Msemaji Mkuu wa wanawake kutoka East Africa Television na East Africa Radio Maryam Kitosi, leo Agosti 7 katika kipindi cha MamaMia kinachoruka East Africa Radio Jumatatu hadi Ijumaa Saa 10:00 Asubuhi hadi 12:00 mchana, ametoa wito kwa mama lishe kuwa na dhamira ya maendeleo.

Maryam Kitosi

Maryam Kitosi amesema anataka kuwaongezea mama lishe thamani yao kupitia kampeni  ya Simama Na Mimi, inayoendeshwa na East Africa Radio, ambapo amewasihi mama lishe kutumia lugha nzuri na kuboresha mazingira ya kufanyia biashara hiyo ili kumvutia mlaji.

Pia ameongelea suala zima la afya ya Uzazi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji, ambapo ameshirikiana na mtaalamu Kutoka Tiba na Lishe na kutoa elimu ya namna ambavyo mama anatakiwa kunyonyesha.

“Inashauriwa ndani ya saa moja baada ya mama kujifungua mtoto aanze kunyonya ndani ya muda wa miezi sita na ndipo apewe chakula kingine kama nyongeza hadi atakapotimmiza miaka miwili, kunyonyesha kunajenga mahusiano mazuri katika ya mama na mtoto na inaongeza upendo kati yao’’, amesema mtaalamu kutoka Tiba na lishe.

Pia Kinara huyo alihitimisha kwa kusema wanawake wazingatie miongozo ya afya katika unyonyeshaji ili kujilinda na saratani ya matiti.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi