Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashahidi kesi ya Zitto waeleza undani wa tukio

Alhamisi , 2nd Apr , 2020

Jumla ya mashahidi wanane kati ya 10 wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uchochezi inayomkabili Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, tayari wamekwishatoa ushahidi wao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam.

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe

Kesi hiyo ambayo inasikilizwa na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Huruma Shaidi, leo Aprili 2, 2020, imeendelea ambapo mashahidi watatu wametoa ushahidi wao na hivyo kufanya idadi ya mashahidi ambao wamekwishatoa ushahidi kufikia nane.

Mmoja wa mashahidi hao ameiambia Mahakama kuwa alitumiwa na vyombo vya usalama kuwatuliza wananchi, waliokuwa na hasira pamoja na kutumwa afanye uchunguzi ili kupatikana bunduki za Polisi zilizopotea.

Shahidi mwingine katika kesi hiyo ameiambia Mahakama kuwa, alishuhudia nyumba zikichomwa moto na Polisi katika eneo la Mpeta mkoani Kigoma.

Inadaiwa kuwa Oktoba 28, 2018, Zitto akiwa katika Ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam, alitoa kauli za uchochezi kupitia mkutano wake na waandishi wa habari, na miongoni mwa matamshi yaliyomtia matatani ni pamoja na kusema kuwa Jeshi la Polisi lilihusika kufanya mauaji kwa wananchi 100 mkoani Kigoma.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali