Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matumizi ya nguvu na ukwepaji sheria vyatawala DRC

Jumamosi , 22nd Oct , 2016

Polisi, vikosi vya jeshi na askari wa ulinzi wanadaiwa kutumia nguvu kupita kiasi ikiwemo silaha za hatari wakati wa maandamano mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, mwezi uliopita ambapo watu 53 waliuawa, 143 kujeruhiwa

Polisi nchini DRC wakionekana wakilinda moja ya eneo ambalo hivi karibuni upinzani uliandaa maandamano.

Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi wa awali ya Umoja wa Mastaifa.

Uchunguzi huo uliofanywa kwa pamoja na ofisi ya haki za binadamu ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini DRC MONUSCO, imeorodhesha wahanga 422 wa ukiukwaji wa haki za binadamu ukijumuisha haki ya kuishi, uhuru na usalama wa watu, uhuru wa kukusanyika kwa amani na kujieleza.

Watu 48 kati ya 53 waliopoteza maisha waliuawa na vyomvo vya serikali ikiwemo polisi na 38 ambao miongoni mwao walipigwa risasi kichwani, kifuani na mgongoni.

Ravina Shamdasani ni msemaji wa ofisi ya haki za binadamu Geneva amesema ukwepaji wa sheria kufuatia ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ikiwemo, kupiga risasi, kukatakata na ukamataji wa kiholela imekuwa ni janga kubwa nchini DRC kwa miongo mingi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali