Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mavunde awataka vijana kuchapa kazi kujikwamua

Jumatatu , 1st Aug , 2016

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vijana na Ajira, Anthony Mavunde,amewataka vijana nchi kuachana tabia ya kutopenda kufanyakazi na badala yake wafanye kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, vijana na Ajira, Anthony Mavunde.

Mhe. Mavunde amesema hayo Mjini Lindi, wakati wa mahafali ya kwanza ya mradi wa uwezeshaji vijana kiuchumi kwa vijana wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi katika manispaa ya Lindi.

Naibu Waziri huyo amesema kuwa wanapaswa kutumia fursa kama hizo za mafunzo ya ujasiriamali ili kujikwamua kiuchumi huku akiwataka vijana kuacha kukataa tamaa wakati wakiwa kwenye harakati za utafutaji.

Kwa upande wake Meneja wa mradi huo Simon Ndembeka, amesema lengo la mradi huo ni kuondoa hali ya umasikini kwa vijana ambao wamezingirwa na hali ngumu na wanaishi katika mazingira hatarishi ya kuweza kufanya uhalifu au kuingia katika matumizi ya madawa kwa sababu ya kukosa ajira.

Wakizungumza mara baada ya Mahafali hayo baaadhi ya vijana hao 150 waliohitimu mafunzo hayo wameushukuru mradi na kusema umewasaidia kujiwezesha kimaisha na kuanza kujitegemea kwa kutumia biashara walizozianzisha kupitia mradi huo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi