Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbarawa atoa siku tatu ukarabati wa reli Kilosa

Jumatatu , 4th Jan , 2016

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Pro. Makame Mbarawa amewataka watendaji wa shirikla la reli nchini na kampuni hodhi ya mali za reli kuhakikisha sehemu ya reli iliyosombwa na mafuriko wilayani Kilosa mkoani Morogoro inaungwanishwa

Waziri wa Ujenzi , Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (katikati), akifafanua jambo wakati alipofanya ziara ya kuangalia maendeleo

Prof. Mbarawa amesema hayo baada ya kukagua athari za mafuriko katika reli hiyo kutoka Kilosa hadi Maguru Kidete kuona athari zilizosababishwa na mvua zilizonyesha katika mikoa ya Iringa na Dodoma.

Prof. Mbarawa amesema reli hiyi itaanza kujengwa kuanzia Kesho na amewataka wajenzi hao watumie usiku na mchana ili kuweza kukamilisha ujenzi huo kwa siku tatu huku wakitakiwa kutafuta suluhu ya kudumu ya kukomesha kuathirika kwa reli hiyo na mafuriko mara kwa mara.

Kwa upande wake Diwani wa kata hiyo Bw. Mohammed Selemani Mbunda amemuhakikishia waziri Mbarawa kuwa wananchi wake watashirikiana na serikali katika ujenzi huo na kutafuta suluhu ya kudumu kudhibiti mafuriko yanayoharibu miundo mbinu ya reli katika eneo hilo.

Diwani huyo ameongeza kuwa licha ya mvua hizo kuharibu miundo mbinu hiyo ya reli lakini pia zimeharibu mashamba na kufanya wakazi wa eneo hilo kukabiliwa na baa la njaa kutoka na mazao kuharibiwa yakiwa mashamba

HABARI ZAIDI

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton