Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbinu ya 'Dorome' ilivyofanikisha wizi wa magari 5

Jumatano , 7th Apr , 2021

Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limekamata magari matano ya wizi yaliyoibiwa katika sehemu mbalimbali hapa nchini, huku watu wawili wakikamatwa kuhusika na wizi huo

Magari ya wizi ambayo yamekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe

Akizungumza Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe Hamisi Issa amesema Kwamba wizi wa magari hayo umekuwa ukifanywa kwa mbinu tofauti ikiwa ni pamoja na kutumia vilevi maarufu kama dorome ili kufanikisha wizi huo.

"Taratibu za wizi wanaoiba siku hizi , ndugu zangu mnaotumia vinywaji endapo utakuwa unakunywa maji kama utakuwa umeenda kujisaidia baada ya muda na umeacha kinywaji chako usiendelee kukitumia tena kuna mtindo unaitwa dorome, dorome ni inachukuliwa ugolo ama valium inawekwa kwenye glass ama chupa ukinywa unalewa bila kujitambua na matokeo gari linaibiwa"

"Kwahiyo tunawasihi wananchi unapokuwa kwenye kilevi na unakuwa na mtu amabye umfahamu anagalia usalama wako kwanza, sasa hivi hawa wenye magari haya waje wayatafute ama wayafutae na wayachukue magari yao" amesema Kamanda Hamisi Issa 

Pia ameelezea kuibuka  kwa mtindio usio wa kawaida ambao watu wamekuwa wakiingia  kwenye nyumba ya ibada na kuanza kuiba vifaa vinayotumika kwenye ibada.

Kuhusu masuala ya watu kupoteza maisha Kamanda Issa  anasema tatizo la watu kujinyonga bado ni tatizo mkoani Njombe pamoja na masuala ya kishirikina nayo yamekuwa bado ni changamoto licha ya Kukabiliana Nayo Kwa Muda mrefu mapaka  Sasa.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja