Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufafanuzi wanaohusisha mboga za majani na umaskini

Jumatatu , 30th Nov , 2020

Tatizo la uwepo wa fikra potofu kwa baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kagera kuwa wanaokula mboga za majani ni maskini, limetajwa kuchangia uwepo wa idadi kubwa ya watoto waliodumaa.

Pichani:Mfano wa mboga za majani

Akizungumza na EATV, Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, Desdery Karugaba amesema kuwa wanaendelea kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kagera kuachana na fikra hizo na badala yake kutumia mboga hizo kwa wingi hususani akina mama wajawazito.

“Mboga za majani zinahusishwa na umasikini lakini mtu anaona kuzitumia hizi mboga atakuwa ni kama mtu wa hali ya chini, sisi tunahamasisha matumizi ya hizi mboga kwa wajawazito si mboga tu anatakiwa ale mlo kamili kutoka yale makundi matano ya chakula, kila kundi lina kazi yake moja likikosekana lazima litatokea tatizo mwilini” amesema Desdery

Afisa Lishe kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Elieth Rumanyika, amesema tatizo la udumavu kwa watoto nchini linaendelea kushuka na sasa ni asilimia 31.8 huku wakizidi kuongeza nguvu katika kuhakikisha udumavu nchini kwa watoto chini ya miaka mitano unapungua na tatizo la wanawake ambao wana upungufu wa damu wanapungua.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na taasisi ya chakula na lishe Tanzania, mkoa wa Kagera una watoto 260,000 wenye umri wa chini ya miaka mitano waliodumaa.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi