Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbowe alipamisi Ikulu - Musukuma

Alhamisi , 26th Mei , 2022

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma amesema katika uongozi wa awamu ya Sita wa Rais Samia Suluhu Hassan sio wanawake tu wanaofurahia bali hata wanaume wanafurahia uongozi wake

Musukuma ametoa kauli hiyo leo Mei 26 bungeni Jijini Dodoma wakati wa kuchangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa uongozi wake 

""Kwa uongozi wa Mama Samia sio wanawake tu wanaomfuraia hata sisi wanaume tunamfuraia sana, hata vyama vya upinzani, hebu angalia leo Mbowe ndiye anaongoza kwenda Ikulu najua alipamisi sana lakini amepata nafasi yakuingia na kutoka zaidi ya mara tano"

Musukuma amesema baada ya kuondokewa na Rais wa awamu ya tano, Tanzania imepata kiongozi ambaye ameenda kuionyesha Afrika kwamba Tanzania ni nchi ambayo inadumisha amani.

Leo Bunge la Tanzania limepitisha azimio la la kumpongeza Rais Samia Suluhu baada ya kupokea Tuzo ya Babacar Ndiaye kwa mwaka 2022 (Babacar Ndiaye Trophy 2022) na kwa kutambuliwa kama miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa duniani

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa