Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbowe amfagilia katibu mpya CHADEMA Dkt. Mashinji

Jumatatu , 14th Mar , 2016

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe ameweka wazi sababu za chama hicho kimemteua Dkt. Vicent Mashinjji kuwa katibu Mkuu mpya wa Chama hicho.

Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent Mashinji.

Akiongea jana katika Mkutano wa hadhara wa kumtambulisha katibu mkuu huyo jijini Mwanza katika Viwanja vya furahisha Mhe. Mbowe amesema sifa na uwezo wake wa kimkakati katika kuimirisha chama ndiyo sababu kubwa iliyofanya waweze kumteua Dkt. Mashinji.

Kwa upande wake Katibu Mkuu huyo Mpya akiongea na wananchi waliojitokeza katika utambulisho wake huo amesema kuwa jukumu lake la kwanza ni kujenga chama kimkakati zaidi ili kiweze kusonga mbele.

Aidha amesema kuwa dhamira yake kubwa ni kuona katiba, Sheria na maamuzi ya wananchi yanafuatwa ikiwa ni pamoja na kudumisha amani na utulivu huku akisema kuwa uongozi wake utagatua zaidi madaraka kwa wananchi.

Nae aliyekuwa Mgombea urais wa Chama hicho kupitia mwamvuli wa UKAWA,Mhe. Edward Lowassa amewashukuru wananchi wa Mwanza kwa kura walizompigia lakini akasisitiza kuwa safari ya mabadiliko imeanza tena rasmi kupitia katibu mkuu huyo Mpya.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi