Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge aliyechongewa kwa JPM afunguka

Jumatatu , 22nd Apr , 2019

Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia amewataka wapiga kura wake, kutowaamini watu wanaozusha maneno kwamba ametaka kuhamishia ujenzi wa hospitali ya Wilaya Mkunwa badala ya Nanguruwe.

Rais Magufuli

Akizungumza na wananchi wa Nanguruwe, Ghasia amesema kwamba yeye mwenyewe alipata taarifa kuwa Baraza la Madiwani wamehamisha Hosptali ya wilaya Mtwara, isijengwe Nanguruwe na wameipeleka Mkunwa wakidai kuna maelekezo toka Tamisemi ingawa hawezi kuwalaumu.

"Kuna wengine wanaozusha kwamba eneo la Mkunwa ni la Hawa Ghasia, Jamani! Ghasia ana maeneo mangapi? uko mnakosikia wanasemaje kwamba mimi ndo nalazimisha wajenge Mkunwa nilipwe fidia? Msidanganyike. Niko na nyinyi kuhakikisha maagizo ya Rais Magufuli yanatekelezwa" Mbunge Ghasia

Ameongeza kwamba "Kabla ya Rais kufika hapa.Nilipata taarifa kuwa Baraza la Madiwani wamehamisha Hosptali ya wilaya Mtwara,isijengwe Nanguruwe na wameipeleka mkunwa wakidai kuna maelekezo toka Tamisemi. Nikaenda Tamisemi wakakataa. Siwalaumu Madiwani,wamedanganywa".

Pamoja na hayo, Mbunge Ghasia amesema kwamba "Tangu nimekuwa Mbunge sijawahi kuwa na mkutano mkubwa kama huu. Ndugu zangu wa Nanguruwe tukitaka tushinde hii vita mimi  na nyinyi tuwe kitu kimoja, tukianza kugombana wenyewe tutashindwa na ndo wanachotaka. Hakuna anayeweza kubadili agizo la Rais, Hospitali itajengwa hapa

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari