Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge CCM amtofautisha Lissu na Nyalandu

Jumatatu , 10th Jun , 2019

Mbunge wa Singida Kaskazini Justine Monko amemtaka Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Lazaro Nyalandu, asijifananishe na Mbunge Singida Mashariki Tundu Lissu na kueleza kuwa hawataweza kushinda majimbo yote Mkoa wa Singida.

Justine Monko ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na www.eatv.tv juu ya kauli ya Nyalandu kwamba chama hicho kitashinda Majimbo yote Mkoa wa Singida kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2020.

Mwandishi - "Mh. Nyalandu anasema watashinda majimbo yote ya Mkoa wa Singida kwa kushirikiana na Mbunge wa Singida Mashariki, vipi wewe haulihofii hili"?

Mbunge Justine Monko - "Mimi sihofii vitu vidogo kama hivyo kwa sababu moja tu,  umaarufu Nyalandu alikuwa nao wakati akiwa CCM, tangu amejiondoa hana nguvu hiyo, nguvu anayodhani alikuwa nayo ilikuwa ya CCM, na wala asijifananishe na Tundu Lissu, Nyalandu na Tundu Lissu ni vitu viwili tofauti kabisa."

Mwandishi  - "Umesema kuna tofauti kubwa kati ya Nyalandu, na Tundu Lissu labda Mheshimiwa tueleze tofauti yao ni ipi"?

Mbunge Justine Monko - "Hilo suala ningependa kulizungumzia siku nyingine, ila ninachoweza kusema kwa sasa tofauti ya Nyalandu na Tundu Lissu ni kubwa mno, huwezi kuwaweka pamoja, na hauwezi kulinganisha uwezo wa Nyalandu na uwezo Tundu Lissu."

Hivi karibuni akiwa mkoani Singida kwenye kampeni ya 'CHADEMA ni msingi' Lazaro Nyalandu alisema kupitia watu maarufu wa mkoa huo akiwemo yeye pamoja na Tundu Lissu watahakikisha wanashinda majimbo yote manne ya mkoa huo kwenye uchaguzi ujao wa 2020.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa