Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge CHADEMA amvaa Jerry Muro

Jumatatu , 1st Apr , 2019

Mbunge wa Arumeru Magharibi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Gibson Meiseyeki amemjia juu Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro na kueleza kuwa haihitaji kuonekana na kiongozi huyo ili ijulikane anatekeleza majukumu ya kibunge.

Meiseyeki ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na www.eatv.tv iliyotaka kufahamu juu ya kauli ya Mkuu wa Wilaya Arumeru wakati akizungumza na East Africa Breaksfast ya East Africa Radio ambapo alidai tangu ateuliwe na Rais Magufuli hajawahi kukutana na Mbunge Mbunge wa Jimbo hilo jimboni kwake.

Akijibu madai hayo ya kutoonekana jimboni Meiseyeki amesema kuwa, "mimi sio Baba mkwe wake wala hajaoa kwetu kwa hiyo haitaji kuniona ili kutekeleza majukumu yake, afanye ya kwake na mimi nifanye ya kwangu,".

"Mimi ni mwakilishi wa wananchi labda tubadilishane mimi niwe Mkuu wa Wilaya, yeye awe Mbunge, na ofisi yangu kwa sasa iko Dodoma sio wilayani, haihitaji kuniona mimi nikimaliza vikao huwa narudi nyumbani kwangu Arumeru, kwa hiyo akisema hajaniona hajaamua kunitafuta."

Hivi karibuni pia wakati akizungumza na www.eatv.tv, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro alizungumzia juu ya madai kutamani Ubunge katika Jimbo la Hai ambalo kwa sasa linaongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali