Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge Mtaturu atengewa bilioni 2

Jumatatu , 23rd Sep , 2019

Serikali kupitia Wizara ya Maji imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 2 kwa ajili ya kutatua kero ya maji katika jimbo la Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu, baada ya Rais Magufuli kuagiza changamoto hiyo ishughulikiwe mapema.

Akizungumza leo na EATV & EA Radio Digital, Septemba 23, 2019 Mtaturu amesema kuwa amefurahishwa kuona serikali imechukua hatua za haraka kuishughulikia changamoto hiyo, ambapo hadi sasa vimekwishachimbwa visima 28 watakavyotumika kusambaza maji jimboni humo.

''Bahati nzuri niliongozana na Naibu waziri wa Maji kwa maelekezo ya Wizara na Mh Rais, kwamba aje tuangalie changamoto ya maji pamoja. Nashukuru kwamba wizara imetupataia bilioni 2 na imewaacha wataalamu wa maji hapa ili kuangalia namna ambavyo watazigawa hizo pesa katika maeneo ambayo yalikuwa na changamoto'', amesema Mtaturu.

Ameongeza kuwa mbali na changamoto ya maji jimbo lake linakabiliwa na changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara na kuleta adha kubwa kwa watumiaji, hususani wakulima wakati wa kusafirisha mazao yao na kwamba Wizara ya ujenzi imemuahidi kutafuta fedha.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil