Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge Musukuma alilia Maaskari wanawake

Jumatatu , 24th Jun , 2019

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola ameeleza Serikali ina mpango wa kupeleka Maaskari wanawake katika baadhi ya Majimbo nchini kufuatia maombi yaliyotolewa na Wabunge wengi.

Waziri Lugola ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku (Musukuma), ambapo Kangi lugola alieleza anajua wanaume wengi huwa wanafurahia zaidi wakikaguliwa na Maaskari wanawake kuliko wanawake kukaguliwa na wenzao.

"Wapo Wabunge wengi wanaomba tuwapelekee Maaskari wanawake, ninajua wanapokuwa Maaskari wanawake ni faraja kwa wananchi, kwa sababu wao wanaruhusiwa kuwakagua hata wanaume, nimpe faraja Mbunge Musukuma tutawapelekea Askari wanawake." amesema Kangi Lugola

Awali akiuliza swali Mbunge Musukuma ameliza kuwa "nisikitike kwa majibu yaliyotolewa na Naibu Waziri sio sahihi, maeneo ya jirani wana askari wa kike nataka kujua ni lini Serikali itanipatia askari wanawake?"

Waziri Kangi : "ni kweli lazima Askari mwanamke ampekue mtuhumiwa wa kiume, na kama hakuna askari mwanamke uko utaratibu wa kutumia mgambo wanawake au mke wa askari ambaye yuko jirani, nimeshamuagiza wa Kamanda wa Polisi Geita apeleke askari wakike"

Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo Wabunge wanajadili pamoja na kuingia kura Makadirio ya Mapato na Matumizi ya 2019/2020.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi