Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge Ndanda, amtaka Mbowe awapishe wengine

Jumatatu , 7th Oct , 2019

Mbunge wa Jimbo la Ndanda Cecil Mwambe, amesema kuwa huu ni wakati wa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, kuacha ngazi na kuwapisha watu wengine, ambao anaamini wanayosifa ya kushikilia wadhifa huo kwasasa.

Mwambe ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache tu, baada ya Mbunge huyo kuonesha nia ya kutaka kugombea Uenyekiti wa CHADEMA kwa kile alichokidai anaamini  anasifa za kukiongoza chama hicho.

''Tunamshukuru Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe, kwa mnchango mkubwa alioutoa kwenye chama chetu ila nadhani sasa umefika wakati wa kuwaachia wengine" amesema Mwambe

Hivi karibuni Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, alikiandikia barua chama hicho akikitaka kujieleza kwanini kisichukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kufanya uchaguzi wa ngazi ya Kitaifa ili kuchagua uongozi mwingine, baada ya uliopo kwa sasa chini Mwenyekiti Freeman Mbowe kufikia ukomo wake Septemba 14, 2019.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa