Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchumba wa Sabaya atoa ushahidi mahakamani

Jumatatu , 17th Jan , 2022

Shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake, Jesca Thomas ameieleza mahakama kuwa akiwa hotelini Dar es Salaam na aliyekuwa DC Hai, ambaye ni mchumba wake walivamiwa na kukamatwa na polisi waliokuwa wamevalia nguo za kiraia na silaha.

Jesca Thomas (Mchumba wa Sabaya), na kulia ni aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya

Januari 14, 2022, Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha iliwakuta na kesi ya kujibu watuhumiwa saba, akiwemo Sabaya mwenyewe, katika kesi ya uhujumu uchumi namba 27 inayowakabili, na leo utetezi umeanza.

Lengai ole Sabaya pamoja na wenzake 6 kwenye kesi hiyo ya uhujumu uchumi wanakabiliwa na tuhuma za kuchukua kiasi cha shilingi milioni 90 kutoka kwa mfanyabiashara Francis Mrosso kwa madai kwamba amekwepa kodi.

Shahidi wa kwanza wa utetezi Silivester Nyegu, ambaye pia ni mshtakiwa katika kesi hiyo amekana shtaka hilo na kuieleza mahakama kuwa hakuwahi kushiriki na wala kupata mgao wa pesa hizo na hakuwahi kujihusisha katika genge la uhalifu. 

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani