Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfahamu Waziri aliyekuwa anaenda kunyoosha Ulaya

Jumanne , 1st Sep , 2020

Waziri wa Katiba na Sheria, ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi Dkt Mwigulu Nchemba, amesema kuwa miongoni mwa wagombea wanaojinadi kama ni watoto wa Singida siyo wazalendo kwa kuwa kuna mmoja alipokuwa Waziri alikuwa anaenda kunyosha Suti nje ya Nchi.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Mwigulu Nchemba.

Dkt Nchemba ametoa kauli hiyo hii leo Septemba 1, 2020, katika Uwanja wa Bombadier uliopo Mjini Singida, wakati mgombea Urais wa CCM Dkt John Magufuli akiomba kura kwa wananchi wa Mkoa huo.

"Wengine wanakuja hapa wanajifanya eti ni watoto wa Singida hawana hata uzalendo, kuna mmoja Mh Rais tulikuwa Mawaziri wote hata Suti zake alikuwa anaenda kunyoosha Ulaya, anauchungu na Singida huyo!, wengine walikuwa wanasema Tanzania siyo salama sasa hivi wamekuja sababu advance wamechukua baada ya uchaguzi tu watasema siyo salama", amesema Dkt Nchemba.

Aidha Dkt Nchemba ameongeza kuwa, "Ninyi Wana Singida niwaambieni Rais ni huyu Dkt Magufuli na kwa kuwa sisi ndiyo mtakuwa mnatutuma, niwaombe ihurumieni Tanzania wale wagombea wengine wote nawafahamu na nikiangalia janja janja yao hata advance walishachukua nchi yetu itauzwa". 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali