Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfumo wa uwekezaji kikwazo kwa wawekezaji

Jumanne , 19th Jan , 2016

Tatizo la mfumo wa upatikanaji wa ardhi limeendelea kulalamikiwa kuwa tatizo linalofanya kukwamisha shughuli za uwekezaji katika maeneo mbalimbali nchini hususani mkoani Lindi.

Mkuu wa mkoa wa Lindi Jordan Rugimbana

Hayo yamebanishwa na mwakilishi wa mwekezaji kutoka nchini Ufaransa wa kampuni ya Cassava Starch of Tanzania Corporation LTD,.ambao wameshindwa kufanyia kazi azma yao ya kuanzisha kiwanda cha kutengeneza wanga katika eneo la Mtama, kitakachokwenda sambamba na ulimaji na ununuzi wa zao la mhogo ikiwemo kutoka kwa wakulima, kwa madai kwamba hali hiyo inasababishwa na mlolongo mrefu wa mfumo wa upatikanaji wa ardhi,

Akitolea ufafanuzi suala hilo mkuu wa mkoa wa Lindi Jordan Rugimbana, amekiri mfumo uliopo kukwamisha hali hiyo ingawa maeneo mengi yapo wazi kwa shughuli za kilimo na uwekezaji na kwamba kwa sasa ameanza kufanyia kazi hali hiyo kwa kuwatambua wawekezaji wote waliopo katika mkoa wake na kujua mahitaji yao na kile wanachofanya ambapo zoezi hilo la kuwapatia maeneo litawashirikisha wananchi.

Takwimu zinaonesha mkoa huo una eneo kubwa la ardhi ambalo linafaa kwa shughuli za kilimo lakini halitumiki,huku watafiti wakiwa tayari wamewawezesha kupata mbegu bora za aina mbalimbali kwa ajili ya kilimo cha mhogo.

Nao baadhi ya wananchi wa Mtama wilayani Lindi wameziomba mamlaka husika, kuhakikisha wawekezaji hao wanapata eneo la ukubwa wa hekta 6000 kama walivyoomba ili waanzishe kiwanda hicho cha kutengeneza wanga na wao waweze kunufaika kiuchumi na fursa mbalimbali zikiwemo za ajira na maendeleo mengine.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa