
Kisu
Tukio hilo limetokea Agosti 30, 2022, ambapo marehemu alikuwa akimzuia mtuhumiwa kutomfanyia fujo mke wake aliyekimbilia kituoni hapo kuomba msaada kutokana na kwamba walikuwa na ugomvi na alikuwa akitaka kumuua.
Mashuhuda wa tukio hilo wamesema marehemu alichukua jukumu hulo kutokana na kwamba Askari Polisi wa kituo hicho walishindwa kumdhibiti mtuhumiwa kwani hawakuwa na silaha ya aina yoyote.