Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgombea adai kuwarudisha vijijini wale wanaozurura

Jumanne , 29th Sep , 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia Makini Cecilia Mmanga, amesema iwapo Watanzania watampa ridhaa ya kuwaongoza, atahakikisha vijana wote wanaozurula mjini bila kazi, wanapelekwa kijijini na kila mmoja anapewa hekari moja ya shamba ili ajikite kwenye shughuli ya kilimo.

Mgombea urais kupitia chama cha Demokrasia Makini, Cesilia Mmanga.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na EATV, na kuongeza kuwa Taifa la Tanzania lina vijana wengi hivyo ni lazima nguvu kazi iliyokuwa ikitumika wakati wa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere inarudishwa katika kilimo.

Taifa letu lina vijana wengi, na kila kijana tutamkatia heka moja kwa sababu vijana wengi tunaona wako mjini wanazurula bila kazi maalumu, lakini tukipata ridhaa ya kuingia madarakani hawa vijana wote wasiokuwa na kazi tutawapeleka vijijini na kuwapa mashamba ili wafanyie shughuli za kilimo,” alisema Cecilia.

Aidha, Cecilia ameongeza kuwa wote watakaozalisha malighafi, serikali yake haitowapangia bei bali itawapa uhuru wa kila mmoja kuwa na bei yake ya mazao kwa kuwa wakulima ndiyo wanaojua jinsi wanavyohangaika.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali