Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgomo wa daladala watikisa Morogoro

Alhamisi , 21st Apr , 2016

Madereva wa daladala kugoma kwa zaidi ya saa nane kwa madai ya kunyanyaswa na watendaji wa SUMATRA

Wakazi wa mji wa Morogoro na maeneo ya jirani wamelazimika kutembea kwa miguu na wengine kupanda magari ya mizigo baada ya madereva wa daladala kugoma kwa zaidi ya saa nane wakishinikiza mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu (SUMATRA) kuacha kuwanyanyasa kwa kuwakamata na kuwatoza faini kubwa.

Wakizungumza katika maeneo mbalimbali ya mji wa Morogoro baadhi ya abiria wakiwemo wanafunzi wametupia lawama serikali kushindwa kushugulikia kero za madereva hao na kusubiri mgogoro unakuwa mkubwa na kuathiri shuguli za maendeleo na masomo kwa wanafunzi.

Wakieleza sababu za mgomo huo viongozi wa chama cha madereva wa daladala manispaa ya Morogoro wamesema mgomo huo umetokana na madereva kuchoshwa na utendaji mbovu wa afisa mfawidhi wa SUMATRA mkoa wa Morogoro kukamata hovyo daladala na kisha kuwatoza faini bila sababu za msingi.

Akizungumza mara baada ya kukutana na viongozi wa madereva hao mkuu wa wilaya ya Morogoro Muhingo Rweyemamu amesema kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya imewaomba warudishe magari barabarani hadi siku ya Jumatatu watakapokutana tena kutatua kero zao.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali