Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Mh Rais hali ni ngumu, achia pesa' - Mwananchi

Jumatano , 27th Nov , 2019

Mwanaume mmoja mkazi wa Igunga, mkoani Tabora, aliyejitambulisha kwa jina la Abel Mpinga, amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, kuachia pesa kwa kuwa sasa maisha yamezidi kuwa magumu, hali inayopelea akina Mama kunyang'anywa vifaa vyao kutokana na made

Abel Mpinga, Mkazi wa Igunga, aliyemuomba Rais Magufuli kuachia pesa.

Ombi hilo amelitoa leo Novemba 27, 2019, wakati Rais Magufuli aliposimama njiani kuwasalimia wakazi wa Igunga, ambapo mwanachi huyo alidai kuwa hali ya maisha imezidi kuwa ngumu hivyo ni vyema sasa pesa ikaachiwa.

"Mheshimiwa kama itakupendeza maisha ni magumu sana, fedha hakuna, watu wana hali mbaya, akina Mama wananyang'anywa Tv, Friji kwa mikopo midogomidogo, tunaomba uachie fedha, mengine yote hatuna tatizo na wewe yakikamilika haya hata ukitawala milele sisi hatuna shida" amesema Abel.

Akijibu ombi hilo, Rais Magufuli amesisitiza umuhimu wa kila mtu kufanya kazi kwa bidii.

"Usipofanyakazi hela zitaisha tu ni kweli wapo wanawake wenye pesa wanaoenda kuposa wanaume, sasa anayeoa mwanamke au mwanaume? cha bure hakipo hata mimi sina, kinachotakiwa ni kuchapa kazi, wewe ukitaka pesa nenda hata kwenye machimbo, mimi sikuja kuleta hela nimekuja kuwaambia mfanye kazi" amesema Rais Mgufuli.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke