Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mhagama asisitiza posho za watumishi wa umma

Alhamisi , 6th Oct , 2022

Serikali imeziagiza mamlaka za ajira kote nchini kuhakikisha kuwa, zinaendelea kulipa na kutekeleza haki na stahiki zote za watumishi wa umma nchini ikiwa ni pamoja na kutenga bajeti ya kila mwaka ya mafunzo na posho za watumishi kuweza kushiriki michezo kwani ni haki yao kisheria.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Jenista Mhagama,

Maagizo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Jenista Mhagama, wakati akifungua rasmi mashindano yanayohusisha Watumishi wa Umma  kutoka wizara, Idara na Taasisi zote za serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayofanyika Kitaifa mkoani Tanga. 

Wakizungumza Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi  (TUCTA), Henry Mkunda, wamesema kuwa vyama hivyo vinaendelea kuwajengea uwezo watumishi kote nchini mara baada ya kustaafu waweze kuendesha maisha yao bila kikwazo chochote. 

Kwa upande wake Afisa Masoko kutoka kampuni ya Agri Com Afrika, inayojihusisha na usambazaji na uuzaji wa zana za kilimo Tanzania Baraka Konkara, amesema wameamua kudhamini mashindano hayo ili kuweza kuboresha afya za wafanyakazi hususani wawapo makazini pamoja na kuwahamasisha wafanyakazi hao kushiriki katika kilimo ili kuweza kujikwamua kimaisha. 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi