Jumamosi , 5th Feb , 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi haikuwa rahisi, na kuwataka Watanzania kuendelea kuilinda amani na utulivu uliopo nchini.

Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 5, 2022, aliposhiriki kilele cha maadhimisho ya miaka 45 ya chama hicho, yaliyofanyika Musoma mkoani Mara.

Tazama video hapa chini