Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miili ya mama na wanaye yaagwa, ndugu wazimia

Alhamisi , 1st Dec , 2022

Miili ya mama na watoto wake wawili waliofariki kwa ajali ya gari wakitoka kwenye mahafali ya kidato cha nne ya mmoja wa marehemu, imeagwa leo jijini Dar es Salaam katika kanisa la KKKT Usharika wa Tabata.

Majeneza yaliyobeba miili ya Mama na watoto wake wawili waliofariki kwa ajali

Vilio na majonzi vimetawala katika kanisa la KKKT Tabata ikiagwa miili ya mama Imaculata, na watoto wake Joelista na Janeth Mchungaji wa kanisa hilo  amewataka waombolezaji kujiandaa na siku ya kuondoka kwao, kwani nao hawajui siku watakayoondoka duniani, akihimiza watu kutenda mema.

Ajali hiyo ilitokea usiku wa Novemba 26 mwaka huu, ambapo mama wa familia hiyo, Immaculata Byemerwa (49) pamoja na watoto wake wawili Jolister Byemerwa (17) aliyefanyiwa sherehe ya kuhitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Gili ya Kibaha na Janeth Byemerwa  (20) mwanafunzi aliyekuwa anasoma mwaka wa tatu Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam walipoteza maisha.

Baada ya miili hiyo kuagwa mchana wa leo Tabata Dar, imeenda kuzikwa Kibaha Mkoani Pwani, huku dua nyingi zikielekezwa kwa  Albert Mrema dereva aliyekuwepo kwenye gari sasa yupo chumba cha uangalizi katika Hospitali ya Mloganzila akipatiwa matibabu.

HABARI ZAIDI

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu