Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mikoa inayoongoza kwa ngono za utotoni yatajwa

Jumamosi , 11th Sep , 2021

Mratibu wa Programu ya Ongea na Vijana kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS) Dkt. Pendo Saro, amesema kuwa utafiti walioufanya unaonesha kwamba mkoa wa Dodoma unaongoza kwa mabinti kufanya ngono wakiwa na umri mdogo.

Mratibu wa Programu ya Ongea na Vijana kutoka Tume ya Kudhibiti uUkimwi nchini (TACAIDS) Dkt. Pendo Saro.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 11, 2021, jijini Dodoma, wakati wa uzinduzi wa programu ya Ongea Radio, kipindi ambacho kinachorushwa na East Africa Radio kila Jumamosi kuanzia saa 6:00- 6:30 mchana, chenye lengo la kutoa elimu kwa vijana walio katika umri wa balehe kubadili tabia zao na namna ya kujiepusha na maambukizi ya Ukimwi.

"Katika utafiti tuliofanya tumebaini mkoa wa Dodoma unaongoza kwa mabinti kufanya ngono wakiwa na umri mdogo, ukifuatiwa na mkoa wa Tabora," ameeleza Dkt. Pendo

Aidha Dkt. Pendo akaongeza kuwa, "Mkoa wa Iringa na Njombe, ndiyo mikoa ambayo mabinti wake wanauelewa wa kutosha kuhusu ngono wakiwa na umri mdogo".

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke