Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mkapa alikataa kuitwa Mtukufu" - Dkt Kijo Bisimba

Jumapili , 26th Jul , 2020

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt Hellen Kijo Bisimba, amesema kuwa wakati wa uongozi wake Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa alikataa kabisa kuitwa jina la mtukufu.

Dkt Hellen Kijo Bisimba.

Dkt KijoBisimba ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, wakati akieleza ni kwa namna gani anamfahamu na atamkumbuka Rais Mkapa.

"Ninachokikumbuka kwa Marehemu Rais Mkapa mwaka 1995, alivyoingia madarakani alikataa kabisa kuitwa mtukufu" amesema Dkt Kijo Bisimba.

Aidha Dkt Kijo Bisimba ameongeza kuwa, "Katika kipindi cha uongozi wake ndio Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania kilianzishwa na mimi nikawa Mkurugenzi wa kwanza mwaka 1996, hivyo Mkapa ni mtu aliyejali sana haki za binadamu''.

Rais wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, alifariki Dunia usiku wa kuamkia Julai 24, 2020, katika moja ya Hospitali zilizopo Jijini Dar es Salaam, na atazikwa siku ya Jumatano ya Julai 29, 2020, Kijijini kwao Lupaso mkoani Mtwara.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi