Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mkapa alikuwa Jasiri naheshimu hilo"- Maalim Seif

Jumamosi , 25th Jul , 2020

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif Hamad amesema kuwa marehemu Benjamin William Mkapa alikuwa kiongozi jasiri na hakujali maamuzi yake kama wengine hawatoyafurahia.

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif Hamad

Akizungumza akiwa nyumbani kwa Mkapa Masaki Jijini Dar es salaam alipofika kutoa pole kwa familia leo Julai 25, 2020 amesema kuwa kiongozi huyo ni miongoni mwa watu walioshiriki na kusukuma kufanikiwa kwa maridhiano baada ya kutokea kwa mauaji Pemba mwaka 2001.

Amesema kuwa marehemu Mkapa alipenda kutumia kauli ya kuwa Tanzania si mali ya mtu, hivyo viongozi waliobaki wahakikishe wanamuenzi kwa vitendo.

"Alikuwa kiongozi imara, alipenda amani na maridhiano alihakikisha anasawazisha kila penye mgogoro. Pamoja na mengine ambayo hatukuyapenda ila naheshimu sana misimamo yake" amesema Maalim Seif.

Rais mstaafu Mkapa amefariki usiku wa kuamkia Julai 24, Jijini Dar es salaam na anatarajia kuagwa kwa siku tatu kuanzia Julai 26 hadi 28 katika uwanja wa taifa na Julai 29 atazikwa kijijini kwao Lupaso wilayani Masasi mkoani Mtwara.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari