Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

M/kiti wa Wakuu wa mikoa atoa wito mbele ya JPM

Jumatatu , 6th Jul , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Julai 6, 2020, amewaapisha viongozi mbalimbali Ikulu jijini Dodoma.

Katika uapisho huo Mkuu wa mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo ambaye ni Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa nchini, amewataka wakuu wa mikoa pamoja na viongozi wengine kutatua kero zilizo ndani ya uwezo wao na sio kusubiri Rais afanye ziara na kukutana nazo.

''Pamoja na maelekezo mengi unayotupa lakini kuna changamoto ya kero na malalamiko ya wananchi, na mara ya nyingi umekuwa ukikutana na kero hizo na muda mwingine unatumia muda wako kuzitatua wakati nyingi zipo ndani ya uwezo wetu hivyo nitoe rai kwa viongozi tuzitatue kero hizo'', amesema.

Aidha Nndikilo ameongeza kuwa, ''Nichukue fursa hii kutoa rai kwa wakuu wa mikoa na viongozi wengine wa ngazi zote tusisubirti changamoto za kijiji zije zitatuliwe na Rais, makamu au Waziri Mkuu''.

Amewataka viongozi wote kumsaidia Mh Rais kwasababu pengine ana kazi nyingi zaidi za kufanya kwaajili ya watanzania.

Zaidi tazama Video hapo chini
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa