Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mndeme asimulia alivyotatua mgogoro wa wanaume

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Christine Mndeme, amesema kuwa yeye alijengewa ujasiri tangu akiwa mdogo na kwamba hiyo ilimsaidia hata kuweza kutatua mgogoro wa wafugaji na wakulima ambao walikuwa na silaha kali na aliweza kuingia katikati ya wanaume hao na kuzungumza nao.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Christine Mndeme

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 13, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio na kusisitiza kuwa wanawake wanapaswa kujiamini kwani kila analoliweza mwanaume na mwanamke analiweza.

"Nilipokuwa Mkuu wa wilaya fulani kulitokea mapigano makubwa ya wakulima na wafugaji nilienda mwanamke mwenyewe katikati ya wanaume wakiwa na silaha kali za kijadi na nilitatua ule mgogoro na niliwauliza mbona mko wanaume tu, wakanijibu wanawake wapo nyumbani sisi ndiyo tunapambana," amesema Mndeme.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri