Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Monduli yapunguza ajali za Pikipiki

Jumapili , 25th Sep , 2016

Wilaya ya Monduli imefanikiwa kupunguza ajali za barabarani za pikipiki kwa kiwango kikubwa katika kipindi cha kuanzia Januari hadi mwezi wa nane kupitia kampeni maalum ya mafunzo ya sheria ya usalama barabarani kwa waendesha pikipiki.

Hayo yameelezwa na mkuu wa wilaya ya Munduli Idd Kimanta wakati akifunga mafunzo ya kuhusu sheria za usalama barabarini kwa madereva pikipiki, na kuwataka madereva hao kupitia kazi yao kulinda na kuitunda amani iliyopo ili kuongeza kipato chao.

Baadhi ya madereva bodaboda wamesema kuwa mahusiano hafifu kati yao na jeshi la polisi yametokana na ukosefu wa elimu hivyo kupitia mafunzo hayo watashiriki kikamilifu katika ulinzi wa nchi na kuchangia kodi .

Naye Mkurugenzi wa Apec, Respicus Timanya ambao ndio waratibu wa mafunzo hayo, ameiomba serikali kuwasamehe madeni makumbwa ya kodi wamiliki wa bodaboda ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa hawachangi kodi na badala yake kuanza kupunguza madeni yao, ili kutoa nafasi kwa wamiliki wa bodaboda waanze kulipa kodi.

Zoezi hili la utoaji mafunzo limefanyika katika wilaya ya Arumeru na Monduli ambapo zaidi ya waendesha bodaboda 250 wameshiriki.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa