Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mr Kuku anatafutwa na Waziri Bashe

Jumatatu , 30th Jan , 2023

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, amesema kutokana na kuwepo kwa utapeli wanaofanyiwa Watanzania kwenye masuala ya kilimo, wizara hiyo imeanza kumfuatilia mtu anayejulikana kwa jina la Mr Kuku kwani imeshapokea malalamiko mengi kumhusu yeye.

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 30, 2023, Ikulu ya Dar es Salaam, na kuwaonya Watanzania kwamba hakuna kilimo cha WhatsApp, Instagram wala Twitter, na kusisitiza kilimo hakina njia ya mkato.

"Niwaambie walioko mijini, hakuna kilimo kinachoendeshwa kwa WhatsApp, Instagram wala Twitter, yaani msidanganywe ni kweli watu wengi wanaibiwa, tumeshashughulikia ishu ya JATU, na sasa tunamfuatilia mtu mmoja anaitwa Mr Kuku, tumeshapokea malalamiko mengi sana,"amesema Waziri Bashe 

Aidha Waziri Bashe amesema kuwa, "Acheni kulima kwa Twitter na WhatsApp, hamna mtu anaweza kukuambia lete milioni 10, baada ya miezi mitatu utapata milioni 15, niwaombeni ndugu zangu kwenye kilimo hakuna njia ya mkato, una hela yako kanunue ardhi ajiri kijana kutoka chuo kikuu, mweke shambani msimamie zalisha,".

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma